Ni mchg wa kanisa la TAG Temple Revival Ayapara Mbulu
Ibada zetu huanza saa 1.00 asubuhi kila jumapili
Katikati ya wiki ni Jumatano Mafundisho na Ijumaa maombi saa 10.00 jioni
Karibuni wote kwa ibada za upako
Nina mke mmoja Ester Peter
Nina watoto saba
wanne wa kike na watatu wa kiume
Tuesday, 15 September 2015
Uchaguzi mkuu Tanzania Octoba 25 - 2015
UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2015 Na Mchg Paulo Lukas T.A.G Revival Temple Ayapara
Tudumishe amani tuliyokuwa nayo kwa muda mrefu hapa Tanzania, ambayo ni tunu kutoka kwa
Mungu wetu.
Iweje tumwage damu wakati kiongozi asiyekidhi matakwa yetu sisi wana nchi tutamwondoa kwa kura?
Tukubali matokeo ya uchaguzi ambapo yatatokana na kura yako.
Usipopiga kura umepoteza haki yako.
Kumbuka uhuru wetu wa Tanzania ulipatikana bila au pasipo kumwaga damu.
Sisi ni Taifa moja lisilo na udini wala matabaka yoyote. Sisi sote ni ndugu, tunaoana bila kujali kabila.
Asante ni mimi Mchg Paulo Lukas T.A.G Revival Temple Ayapara, Mbulu, Manyara
Iweje tumwage damu wakati kiongozi asiyekidhi matakwa yetu sisi wana nchi tutamwondoa kwa kura?
Tukubali matokeo ya uchaguzi ambapo yatatokana na kura yako.
Usipopiga kura umepoteza haki yako.
Kumbuka uhuru wetu wa Tanzania ulipatikana bila au pasipo kumwaga damu.
Sisi ni Taifa moja lisilo na udini wala matabaka yoyote. Sisi sote ni ndugu, tunaoana bila kujali kabila.
Asante ni mimi Mchg Paulo Lukas T.A.G Revival Temple Ayapara, Mbulu, Manyara
Subscribe to:
Posts (Atom)