Ni mchg wa kanisa la TAG Temple Revival Ayapara Mbulu
Ibada zetu huanza saa 1.00 asubuhi kila jumapili
Katikati ya wiki ni Jumatano Mafundisho na Ijumaa maombi saa 10.00 jioni
Karibuni wote kwa ibada za upako
Nina mke mmoja Ester Peter
Nina watoto saba
wanne wa kike na watatu wa kiume
No comments:
Post a Comment